Pages

Monday, February 2, 2015

Wageni wabainika wakitengeneza Filamu bila Kibali

 Katibu Mtendaji  Bodi ya Filamu Bibi Joyce Fisoo( wakwanza  kushoto) akitoa ufafanuzi kuhusu filamu hiyo iliyokuwa ikirekodiwa na raia wa Norway katika Ofisi ya Bodi ya Filamu mwishoni mwa wiki.
 Raia hao wa Norway katika picha wakiwa katika kikao kuhusu filamu waliyokuwa wakirekodi  kwenye Ofisi  ya  Bodi ya Filamu hivi karibuni.
 Bw.Torshin Nodland  raia wa Norway (watatu kulia)akijitetea kuhusu filamu hiyo waliyokuwa wakirekodi mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya vifaa walivyokuwa wakitumia raia hao wa Norway katika kurekodi filamu hiyo vikiwa katika Ofisi ya Bodi ya Filamu mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment