Pages

Thursday, March 5, 2015

http://shaabanmpalule.blogspot.com/

Ni wakati wa furaha na kuonyesha Upendo kwa Taifa Lako, Piga vita Rushwa ni Adui wa Haki na Mpiga Maendeleo kwa Taifa, tumia Uhuru wako katika kusema na kufichua Maovu, Mwaka 2015 Chagua Kiongozi asiyetumia Rushwa na Mwadilifu katika Mawazo, Maamuzi, Vitendo na Uwajibikaji kwa Wananchi.

No comments:

Post a Comment