MPALULEBLOG:

Pages

▼

Wednesday, March 18, 2015

MAMIA YA WANAFUNZI WAKIANDAMANA KUADHIMISHA SIKU YA PAI DUNIANI KANUNI YA MAHESABU INAYOTUMIKA DUNIANI KOTE

1
Sehemu ya umati wa wanafunzi walioandamana jana 
  katika maadhimisho ya siku ya Pai duniani kanuni maarufu ya
  hesabu inayotumika duniani kote,lengo la maandamano hayo
  yaliyoanzia kwa mkuu wa mkoa na kuishia shule ya msingi
  Arusha School ni kuhamasisha wanafunzi kupenda hesabu,kauli
  mbiu ni “Nafasi ya Hesabu katika maendeleo ya
  taifa.
Picha na Ferdinand Shayo
3
Sehemu ya umati wa wanafunzi walioandamana jana  katika  maadhimisho ya siku ya Pai duniani kanuni maarufu ya hesabu  inayotumika  duniani kote,lengo la maandamano hayo yaliyoanzia kwa mkuu  wa mkoa na  kuishia shule ya msingi Arusha School ni kuhamasisha  wanafunzi kupenda  hesabu,kauli mbiu ni “Nafasi ya Hesabu katika maendeleo  ya taifa.
Unknown at 2:16 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.