Pages

Saturday, November 21, 2015

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA DINI WA MKOA WA DODOMA.


makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma, Askofu wa Kanisa la KKKT Mkoa wa Dodoma, Kinyunyu Amon, baada ya mkutano uliofanyika leo Nov 16, 2015 kwenye Ukumbi wa Hazina Ndogo mjini Dodoma.

www.shaabanmpalule.blogspot.com

No comments:

Post a Comment