Pages

Saturday, November 21, 2015

STARTIMES YATETA NA MAWAKALA WAKE



Meneja Mauzo wa StarTimes Tanzania, Bw. David Kisaka (mbele)  akifafanua jambo kwa mawakala waliohudhuria hafla iliyoandaliwa kwa madhumuni ya kutoa ufahamu zaidi wa sera na huduma mpya za kampuni hiyo. StarTimes imejiwekea utaratibu wa kukutana na mawakala wake wakubwa na wadogo mara kwa mara ili kujadili mustakabali wa huduma na bidhaa wanazozitoa kwa wateja wao.















No comments:

Post a Comment