Pages

Friday, December 18, 2015

MAENDELEO YANALETWA NA WANANCHI WENYEWE ENDAPO WATATAMBUA JINSI YA KUTUMIA LASILIMALI ZAO.

Haihitaji kuwa na akili sana ili kuiona tofauti ya maisha kati ya miji iliyoendelea na vijijini. Hapa nazungumzia ushirikiano wa wakazi wa maeneo hayo mawili na viongozi wao wa serikali hasa kuanzia ngazi ya mtaa na kata.

Majadiliano yakiwa yanaendelea

Uraghbishi umesaidia kuleta umeme katika mtaa wa Mwime
Hizi ni Nyumba mbili zilizojengwa kwa ajili ya walimu

Hizi ni nyumba mbili  ambazo zimejengwa kwa ajili ya wauguzi



Wanakijiji wa Mwime pia wanafanya shughuli za kilimo na ufugaji
Mgodi umesaidia hata wanakijiji kuwa na vitega uchumi vyao wenyewe

No comments:

Post a Comment