MPALULEBLOG:

Pages

▼

Saturday, December 26, 2015

MKESHA WA KRISMAS HOSPITALI YA MUHIMBILI WATOTO 12 WAZALIWA

 Afisa Muuguzi Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam Mwanne Satara  akimsaidia kumuelekeza Lulu Mohamed namna ya kumfunika nguo Mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia Krismas Dar es Salaam ambapo akinamama 12 walipata watoto na Mmoja wa akinamama hao alipata mapacha 2 na  kufanya watoto wa kiume kufikia 6 na wakike 7, kati yao akinamama  waliofanyiwa upasuaji ni  akinamama 10 na kati ya hao  watoto njiti 2 na Hospitali ya Temeke akina mama waliojifungua hospitalini hapo kufikia idadi ya watoto 12, wakiume 4 na  wakike 8  
Afisa Muuguzi wa Zamu wa Hospita ya Mkoa Amana Florensia Ndumbaro akizungumza na waandishi wa Habari  (pichani hawapo), Hospitalini hapo ambapo amesema  wamepokea idadi ya watoto waliozaliwa mkesha wa Krismas ni 33 kati yao 15 ni wakike na 18 ni wakiume na wote wapo katika hali nzuri na wananyonya vizuri pia mama zao wanaendelea vizuti
Unknown at 6:35 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.