Pages
(Move to ...)
Home
▼
Friday, December 25, 2015
MKUU WA WILAYA YA IRINGA RICHARD KASESELA AFUNGUA MAFUNZO YA ULENGAJI SHABAHA
Mkuu wa Wilaya ya Iringa akipokea maelezo toka kwa Mshauri wa Mgambo wa Mkoa Luteni Kanali J. Kitita
Mkuu wa Wilaya Bwana Richard Kasesela akiongea na wana Mgambo na kuwaasa kuwa waaminifu kwani wao ndio walinzi namba moja katika nchi kwani wao wako karibu sana na wananchi. pia Mkuu wa wilaya alisistiza suala la usafi kama nguzo moja wapo ya uadilifu.
Mkuu wa wilaya akizindua mafunzo ya shabaha. alifanikiwa kulenga 10 kati ya 30 zilienda kwenye shabaha
Mkufunzi wa mafunzo akihesabu shabaha.
Mkuu wa wilaya akionyesha jinsi ya kutumia SMG
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment