MPALULEBLOG:

Pages

▼

Friday, December 25, 2015

MTU MMOJA AKUMBANA NA KICHAPO KWA KUJIDAI AFISA WA TRA

Camera ya Globu ya Jamii imelinasa tukio la baadhi ya Raia wenye hasira waliokuwa wakilishambulia gari la mtu mmoja lenye namba za usajili T945 BYG,na pia kumpa kipigo mtu huyo aliyetuhumiwa kuwa ni tapeli .

Mtu huyo alijitambulisha kuwa ni Afisa wa TRA,lakini akatuhumiwa kuwa ni tapeli aliyetaka kufanya tukio la kiuhalifu kwenye moja ya Maduka yaonekayo mbele ya gari hilo,tukio hilo limetokea hivi punde maeneno ya Tabata Segerea. Mtuhumiwa huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika  mapema,amekamatwa na kupelekwa kituo cha Polisi Tabata Segerea kwa hatua zaidi za kisheria
www.shaabanmpalule.blogspot.com
Unknown at 1:13 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.