MPALULEBLOG:

Pages

▼

Sunday, December 20, 2015

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AIFARIJI FAMILIA YA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE JAKAYA MRISHO KIKWETE

90
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana  na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
88
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015.
89
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na wanafamilia wa  Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya  Kikwete  wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015.
Unknown at 10:47 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.