MPALULEBLOG:

Pages

▼

Tuesday, January 19, 2016

MWANAMKE AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JIJINI DAR ES SALAAM LEO.



 Manamke ambaye jinalake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.
Mwanamke huyo akizungumza na watu waliokusanyika ikiwa alikuwa hasikiki vizuri maneno aliyokua akiongea kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali mengi kwa wakati mmoja. 
www.shaabanmpalule.blogspot.com
Unknown at 12:21 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.