MPALULEBLOG:

Pages

▼

Wednesday, January 13, 2016

SERIKALI KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA IRAN

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kushoto) akizungumza na Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Kituo cha Utamaduni wa Iran  hapa nchini Bw. Ali Bagheri alipomtembelea ofisni kwake leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kushoto) akifurahia jambo na Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Kituo cha Utamaduni wa Iran  hapa nchini Bw. Ali Bagheri alipomtembelea ofisni kwake leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kushoto) akikabidhiwa zawadi ya Kitabu cha mashairi ya Iran na Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Kituo cha Utamaduni wa Iran  hapa nchini Bw. Ali Bagheri alipomtembelea ofisni kwake leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Frank Shija,WHUSM
Unknown at 5:26 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.