Pages

Saturday, February 27, 2016

MKUU WA WILAYA YA SIMANJIRO AZANGUMZA NA WAZEE NA KUWAPA MSAADA WA MAGUNIA 100 YA MAHINDI

 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona, (kulia) akiwazawadia wazee wa Mji mdogo wa Mirerani sh 50,000  baada ya kuzungumza nao na kuwakabidhi msaada wa magunia 100 ya mahindi yaliyotolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya TanzaniteOne Hussein Gonga.
 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona, (kulia) akiwazawadia wazee wa Mji mdogo wa Mirerani sh50,000  baada ya kuzungumza na wazee wa mji huo na kuwakabidhi msaada wa magunia 100 ya mahindi yaliyotolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya TanzaniteOne Hussein Gonga.
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona, akigawa kwa wazee wa mji mdogo wa Mirerani, moja kati ya magunia 100 ya mahindi ya msaada yaliyotolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya TanzaniteOne Hussein Gonga, kwenye ofisi za Sawata.
 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona, akizungumza na wazee wa mji mdogo wa Mirerani na kuwagawia msaada wa magunia 100 ya mahindi ya msaada yaliyotolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya TanzaniteOne Hussein Gonga, kwenye ofisi za Sawata.

No comments:

Post a Comment