Pages

Wednesday, March 30, 2016

Tanzania yapokea msaada wa shilingi bilioni 116.4 kutoka Japan.


 Balozi wa Japan nchini Tanzania Bw. Masaharu Yoshida akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kusaini hati ya makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Japan leo jijini Dar es salaam ambao utaiwezesha Tanzania kupata kiasi Yen Bilioni 6 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 116.4 za Kitanzania.(Na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
 Na Eleuteri Mangi-MAELEZO









No comments:

Post a Comment