Pages

Friday, March 11, 2016

Waziri Ummy akutana na mabalozi Ujerumani na Ireland leo



Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu (kulia kwa waziri) akimsikiliza Balozi wa Ujerumani nchini ,Egon Kochanke (Katikati) wakati alipomtembelea ofisini kwake leo.
Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akimsikiliza Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsen Nan(kulia kwa waziri wakati alipomtembelea ofisini kwake leo.Wengine ni baadhi ya maofisa wa ubalozi huo.

No comments:

Post a Comment