MPALULEBLOG:

Pages

▼

Thursday, March 24, 2016

WAZIRI WA NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI ATEMBELEWA NA UGENI WA ISRAEL.


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi (Mb) akiwa amepokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa bunge la Israel, Bwn. Ronen Plot., alipofika na ujumbe wake ofisini  kwake kuzungumza naye kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Israel. Mhe Lukuvi alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa (Mb).
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelline Mabula (Mb) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa bunge la Israel, Bwn. Ronen Plot. Alipofika na ujumbe wake ofisini  kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Willium Lukuvi (Mb) kuzungumza naye kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Israel. Mhe Lukuvi alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa (Mb).
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi (Mb) akizungumza  ujumbe kutoka Israel, walipofika ofisini  kwake kuzungumza naye kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Israel. Mhe Lukuvi alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa (Mb).
Unknown at 9:58 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.