Pages

Wednesday, March 30, 2016

Ziara ya Mafuzo ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa

 Leo Jumatano tarehe 30 Machi 2016 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa chini ya Makamu Mwenyekiti Mh. Dkt. Pudenciana Kikwembe walipata fursa ya kutembelea ofisi za MKURABITA kwa ajili ya kujifunza juu ya madhumuni na shughuli za MKURABITA nchini.

No comments:

Post a Comment