Pages

Tuesday, April 19, 2016

Airtel yazindua Duka la kwanza katika Wilaya ya Kahama

Wakazi wa wilaya ya kahama wakiangalia simu ya smartphone ya Bravo Z 10 inayopatikana katika duka jipya la Airtel Kahama wakati wa uzinduzi wa duka hilo jipya na la kwanza wilayani hapo litakalowawezesha wakazi hao kupata huduma bora za mawasiliano. 








No comments:

Post a Comment