MPALULEBLOG:

Pages

▼

Wednesday, April 6, 2016

EFM REDIO YAJA TENA NA SHINDANO LA SHIKA NDINGA

EFM redio kwa mara nyingine tena inakuja na shindano la shika ndinga, litakalo washindanisha wakazi kutoka (Dar es salaam na Pwani). Likianza na wakazi wa wilaya ya Temeke, wiki hii siku ya jumamosi pale uwanja wa Zakhiem Mbagala kuanzia saa 3:00 Asubuhi hadi saa 10:00 Jioni.
Mwaka huu Efm inalisongesha kwakutoa zawadi ya magari mawili aina ya Suzuki Carry pamoja na Piki Piki aina ya boxer. Endelea kusikiliza Efm redio kila siku.Baadhi ya picha za shikandinga mwaka jana 2015

Unknown at 1:55 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.