Pages

Tuesday, April 26, 2016

HOSPITALI YA NGARENARO YAKABILIWA NA UHABA WA VIFAA TIBA







Mkuu wa Kitengo cha Rasilimali watu Ruth Mtoi Simba amesema kuwa Watanzania wanaofanya kazi katika jumuiya wameamua kuchangia huduma za kijamii ili kuwasaidia watanzania wenye kipato cha chini kupata huduma bora za afya.Mwanachama wa Umoja huo Fadhili Mganya na Katibu wake Costantini Mashauri wamesema kuwa umoja huo umelenga kuwasaidia watanzania kutatua changamoto mbalimbali za afya ,kijamii na kiuchumi kwa kushiriki katika kutatua changamoto hizo

Umoja wa Watanzania wanaofanya kazi katika jumuiya ya Afrika Mashariki leo wamesheherekea sikukuu ya Muungano kwa kutembelea hospitali ya Ngarenaro na kutoa msaada wa vifaa tiba ili kusaidia kuboresha huduma za afya .

No comments:

Post a Comment