Pages
(Move to ...)
Home
▼
Friday, April 22, 2016
KATIBU MKUU UTUMISHI AFANYA KIKAO KAZI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro (wa pili kushoto) akifungua kikao cha Wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais – Utumishi kilichotumika kumpata mfanyakazi bora wa ofisi kilichofanyika jana alasiri. Wengine ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Aloyce Msigwa(kushoto), Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Bi. Susan Mlawi( wa pili kutoka kulia) na Katibu wa Tawi la TUGHE Utumishi Bw. Ally Litongolele (kulia).
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Susan Mlawi akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi.
Katibu wa TUGHE Tawi la Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Ally Litongolele akieleza namna ya kumpata mfanyakazi bora wa Ofisi wakati wa kikao cha wafanyakazi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi.
Kazi ya kuhesabu kura ya kumpata mfanyakazi bora wa Ofisi ya Rais-Utumishi ikiendelea.
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) wakati wa kikao cha wafanyakazi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi kilichofanyika jana alasiri.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment