Pages
(Move to ...)
Home
▼
Tuesday, April 26, 2016
Kipindi cha Jukwaa Langu. Mjadala wa DICOTA Convention 2016 April 25
Kongamano la kila mwaka la waTanzania waishio Marekani (DICOTA) litafanyika mwishoni mwa juma hili jijini Dallas Texas.
Katika kipindi cha Jukwaa Langu jumatatu hii, tulipata fursa ya kuzungumza na viongozi waandamizi wa DICOTA, Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini Lunda Asmani na Mwenyekiti wa DICOTA Dr Ndaga Mwakabuta.Pia wachangiaji mbalimbali
KARIBU
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment