MPALULEBLOG:

Pages

▼

Tuesday, April 26, 2016

Kipindi cha Jukwaa Langu. Mjadala wa DICOTA Convention 2016 April 25

Kongamano la kila mwaka la waTanzania waishio Marekani (DICOTA) litafanyika mwishoni mwa juma hili jijini Dallas Texas.

Katika kipindi cha Jukwaa Langu jumatatu hii, tulipata fursa ya kuzungumza na viongozi waandamizi wa DICOTA, Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini Lunda Asmani na Mwenyekiti wa DICOTA Dr Ndaga Mwakabuta.Pia wachangiaji mbalimbali
KARIBU
Unknown at 4:53 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.