Pages

Tuesday, April 26, 2016

KONGAMANO LA UWEKEZAJI KATI YA WATANZANIA NA WARUSI 28 APRILI 2016, JNICC, DAR ES SALAAM


Kongamano hili limeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kikishirikiana na Russian Export Club, Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Ubalozi wa Tanzania nchini Urusi na Ubalozi wa Urusi nchini Tanzania; kwa usimamizi wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji nchini Tanzania, Wizara ya Biashara na Viwanda ya Urusi na Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.





No comments:

Post a Comment