MPALULEBLOG:

Pages

▼

Tuesday, April 26, 2016

MBUNGE WA MONDULI JULIUS KALANGA AKIZUNGUMZA NA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MORINGE

Mbunge wa Monduli Julius Kalanga akizungumza na Wanafunzi wa shule ya Sekondari Moringe iliyoko wilayani huko jana wakati wa mahafali ya kidato cha sita.
wanafunzi wahitimu wakiwa wanasikiliza amgeni rasmi kwa makini.
mgeni rasmi ambaye ni mbunge Monduli Julius Kalangaakiwa anagawa cheti kwa mmoja wa mwanafunzi aliyemaliza (picha na woinde shizza,Monduli).
Unknown at 10:55 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.