MPALULEBLOG:

Pages

▼

Monday, April 18, 2016

MH. RIDHIWANI KIKWETE ATEMBELEA ENEO LINALOFANYIKA UKARABATI WA BOMBA LA MAJI LILILOKATIKA

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete, akiendelea kuangalia maendeleo ya ukarabari wa Bomba kubwa la Maji lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa nchini, lililopo katika Karavati bondeni Msata -Kihangaiko, Chalinze.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete (mwenye fulana nyekundu) akiangalia maendeleo ya ukarabari wa Bomba kubwa la Maji lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa nchini, wakati alipotembelea eneo hilo lililopo katika Karavati bondeni Msata -Kihangaiko, Chalinze. Juhudi za ujenzi zimekuwa zikiendelea toka siku lilipobainika tatizo hilo na matarajio ni kumalizika jioni hii na maji kusukumwa kuanzia kesho.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete, akipatiwa maelezo na mmoja wa mafundi wanaofanya ukarabari wa Bomba kubwa la Maji lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa nchini, lililopo katika Karavati bondeni Msata -Kihangaiko, Chalinze.
Mafundi wakiendelea na kazi.
Unknown at 2:08 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.