Pages
(Move to ...)
Home
▼
Wednesday, April 27, 2016
Naibu Katibu Mkuu ampongeza Getrude Clement
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava (Kushoto) na akiwa na Mjumbe Maalumu wa Amani na Mwanaharakati wa Mazingira Bi. Getrude Clement na Bw. Brightiles Titus wanaharakati wa Masuala ya Mazingira. Bi. Getrude aliwasilisha ujumbe wa vijana katika utiaji saini Mkataba wa Paris jijini Newyork kwa kushirikiana na Unicef.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava (Kushoto) akiwa na akiwa na Mjumbe Maalumu wa Amani na Mwanaharakati wa Mazingira Bi. Getrude Clement (katikati) alipotembelea Ofisi ya Makamu wa Rais. Naibu Katibu Mkuu amempongeza kwa kuiwakilisha vema Tanzania Bw. Richard Muyungi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment