Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akikata utepe huku viongozi wengine wakiushikilia kuashiria uzinduzi
rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar
es salaam leo Aprili 19, 2016. 
Ujenzi wa daraja
hilo umehusisha nguzo mbili za pembezoni na mihimili miwili inayoshikilia nyaya
36, na daraja zima lina urefu wa meta 680, upana wa mita 32, njia sita za
magari, njia mbili za watembea kwa miguu na barabara unganishi zenye urefu wa
kilometa 2.5.



No comments:
Post a Comment