MPALULEBLOG:

Pages

▼

Thursday, April 21, 2016

RC Lindi Amtumbua Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi

Pichani..Bi Oliva Vavunge ....Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Godfrey Zambi jana amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi kutokana na Kutosimamia Mradi wa Umwagiliaji na Ujenzi wa Banio katika Kijiji cha Narunyu Kata ya Kiwalala Lindi...Picha na Abdulaziz Lindi
Unknown at 12:13 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.