MPALULEBLOG:

Pages

▼

Tuesday, April 12, 2016

SENDEKA AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI BABATI

 Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Wilaya za Babati Mjini na Babati Vijijini, katika ukumbi wa CCM mkoawa Manyara, leo Aprili 11, 2016, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo. (Picha na Bashir Nkoromo).
. Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akionyshwa na Katibu wa CCM mkoa wa Manyara, Ndengaso Ndakubali (kulia), jinsi Jengo la Ofisi ya CCM mkoa huo, lilivyoungua moto hivi karibuni, Sendeka alipokagua jengo hilo, leo Aprili11, 2016, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Manyara. (Picha na Bashir Nkoromo).
Unknown at 12:37 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.