Pages

Thursday, April 28, 2016

Serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria wananchi waliobadili matumizi ya Ardhi ya makazi na kuyageuza kuwa maeneo ya biashara












Aidha, amesema kutokana na uthaminiuliofanyika mwezi Februari Serikali inatarajia kukusanya jumla ya milioni mianane kama faini kutokana na ubadilishaji wa matumizi ya maeneo usiozingatiaSheria za Ardhi katika maeneo ya Sinza na Kijitonyama.

No comments:

Post a Comment