Pages

Saturday, April 16, 2016

WANYAMA PORI WAVAMIA MASHAMBA YA WANANCHI NA KUMALIZA MAZAO YAO







“awali tulikuwa tunawafukuza wanyama hawa lakini mamlaka ikaja nakutunyima kufukuza wanyama lakini cha kushangaza mara baada yakutuzuia kufukuza wakatuambia tukiona mnyama tupige simu tatizolililokuja ukipiga simu unaambiwa na viongozi ambao wapo hapa katikakituo cha wanyama pori cha losteti wanasema hawana magari hivyo hawawezikuja kufukuza wanyama na sisi wananchi tunashindwa tufanyajeunakuta tembo kaja au mbogo hivi unamfukuzaje jamani inabidi uache aleakitosheka aondoke “alisema Seuri lazier

No comments:

Post a Comment