MPALULEBLOG:

Pages

▼

Wednesday, April 13, 2016

WAZIRI, MAKAMBA AFUNGUA WARSHA YA MAZINGIRA

  Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa Kundi la Washirika wa Maendeleo wanaojihusisha na Mazingira hapa Nchini  Mh. Egon Kochanke akiongea wakati wa warsha hiyo.
  Sehemu ya Wahudhuriaji wa Warsha hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba(hayupo pichani) alipokuwa akifungua warsha hiyo.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, January Makamba akifungua warsha ya wadau wa Mazingira wa ndani na nje ya Nchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais juu ya kujadili jinsi Wafadhili wanavyoweza kusaidia Ofisi katika kuimarisha mambo mbalimbali ya mazingira.
Unknown at 2:47 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.