MPALULEBLOG:

Pages

▼

Friday, April 22, 2016

WAZIRI WA AFYA WA ZANZIBAR AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI.

 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusiana na Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo yatafanyika tarehe 24/04/2016 Zanzibar.Mwengine  ni Naibu Waziri wa Afya Harusi Idi.
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa ufafanuzi wa maswala mbalimbali yalioulizwa katika mkutano wake na Waandishi wa Habari akielezea kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani yatakayofanyika Tarehe 24/04/2016 Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizungumzia kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani yatakayofanyika Tarehe 24/04/2016 Zanzibar.
Unknown at 6:40 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.