Pages

Monday, May 30, 2016

Vijana nchini watakiwa kuwa huru kutoa maoni yao-jk






Shirikisho la Wanafunziwa Vyuo Vikuu (CCM) Seneta ya Dar es Salaam linaundwa na jumla ya matawi 34ambapo katika mahafali hayo ya pili jumla ya wahitimu 640 walitunukiwa vyetikutambua mchango wao katika kuimarisha uhai wa Chama chao vyuoni

No comments:

Post a Comment