MPALULEBLOG:

Pages

▼

Friday, June 3, 2016

diwani wa mwanga kusini mkoani Kigoma akishiriki shughuli za kijamii

Diwani wa Mwanga Kusini mkoani Kigoma, Mussa Maulid akichimba mtaro ili kuzuia maji yaliyokuwa yakijaa madarasani kipindi cha mvua za Masika katika shule ya msingi Muungano Manispaa ya Kigoma Ujiji, shule ambayo alisoma diwani huyo. 
Diwani wa Kaa ya Mwanga Kusini mkoani Kigoma, Mussa Maulid akikagua mradi wa barabara inayotengenezwa katika mtaa wa Kilimahewa, akimuelekeza Mwenyekiti wa mtaa huo Uhai Ahmed.
Unknown at 1:54 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.