MPALULEBLOG:

Pages

▼

Monday, June 13, 2016

FIDIA ZA MADAKTARI 380 WALIOFIKIWA NA WCF KUANZA KUTOLEWA JULAI MOSI 2016.

MPALULEBLOGS:
Baadhi ya madaktari waliohudhuria mafunzo hayo
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi, Masha Mshomba, akitoa hotuba kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano kwa madaktari kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, yanayofanyika mjini Mbeya Juni 13, 2016.Mafunzo hayo ni muendelezo wa kampeni ya WCF kwa kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani, ILO, kuwapatia mafunzo Madaktari kote nchini, ili kujenga uwezowa kufanya tathmini ya madhara aliyoyapata mfanyakazimahala pa kazi kabla ya kupatiwa fidia. WCF itaanza kutoa Fidia kwa Wafanyakazi Kuanzia Julai 1, 2016.
(PICHA ZOTE NA EMMANULE MADAFA).
Unknown at 11:19 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.