Pages

Thursday, June 16, 2016

Iringa watakiwa kujikita katika kulima Viazi Vitamu




Akimkaribisha mgeni rasmi Meneja wa Mradi wa VISTA Bwana Fred Grant alisema mradi huu uko katika mwaka wa 2 na ni wa miaka 3 ni muhimu Tanzania ikaanza kufikiria jinsi ya kuuendeleza nchi nzima kwani manufaa yake ni makubwa. Sherehe hizo pia zilihidhuriwa na waakilishi kutoka Halmashaurizote 7 zinazonufaika na mradi huo.
Meneja Mkuu kiwanda cha Tosti ambao ndio wanunuzi wakubwa wa viazi akitoa melezo. Kiwanda hiki kipo Iringa na kina mahitaji ya viazi kiasi cha tani 150 kwa wiki za viazi mbalimbali.
 

No comments:

Post a Comment