Pages

Friday, June 3, 2016

John kitime atambulishwa kuwa katibu mkuu wa shirikisho la muziki tanzania



 
raisi wa shirikisho la muziki tanzania ado novemba (watatu kulia) akiongea na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo wakati wakumtambulisha katibu mkuu wa shirikisho hilo john kitime (wanne kulia)Mkutano huo umefanyika kwenye Ukumbi wa Idara Habari maelezo jijini Dar es Salaam Leo.(Picha kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment