MPALULEBLOG:

Pages

▼

Thursday, June 2, 2016

KATIBU WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA JIMBO LA JIANGSU AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI YA KIKAZI ZANZIBAR

KATIBU wa Chama cha Kikomunisti cha China katika Jimbo la Jiangsu Luo Zhijun, akivishwa shada la mauwa mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Ussi Gavu, akisalimiana na Katibu wa Chama cha Kikomunisti cha China katika Jimbo la Jiangsu Luo Zhijun wakati mgeni huyo alipowasili katika uwanja wa ndege mjini Zanzibar.
Katibu wa Chama cha Kikomunisti cha China (aliyevaa shati jeupe) Luo Zhijun, akiwa na mwenyeji wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Ussi Gavu (wa kwanza kushoto).
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Ussi Gavu, akizungumza na Katibu wa Chama cha Kikomunisti cha China Jiangsu Luo Zhijun katika ukumbi wa watu mashuhuri (VIP) uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Abeid Karume Zanzibar. Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar.
Unknown at 1:38 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.