Pages

Tuesday, June 14, 2016

mahakama yatoa hati ya wito kwa mbunge wa singida mashariki tundu lissu












Wakili Kadushi aliomba muda wa siku saba kwa ajili ya kujibu hoja za utetezi.Hakimu alisema kesi hiyo itasikilizwa majibu ya hoja za Jamhuri Juni 28, mwaka huu na washtakiwa Lissu na Idrissa wafike mahakamani kusikilizwa mashtaka yao

No comments:

Post a Comment