MPALULEBLOG:

Pages

▼

Wednesday, June 8, 2016

mkutano wa mwaka wa hifadhi za Taifa Tanzania na wahariri waendelea leo mkoani Morogoro

 Mkurugenzi wa masoko TANAPA,Ibrahim Mussa akizungumza kuhusiana na masuala mazima ya masoko ya utalii hapa nchini katika mkutano wa mwaka wa hifadhi za Taifa Tanzania na wahariri pamoja na wanahabari wandamizi kutoka vyuo mbalimbali vya habari katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Morogoro.
Mwalimu wa uchumi na utalii wa chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mwenyekiti  wa kamati ya shauri wizara ya maliasili na utalii, Profesa Wineaster Anderson akizungumza katika mkutano wa mwaka wa hifadhi za taifa Tanzania na wahariri na wahabari waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na utalii wa ndani pamoja na masoko ya utalii wa ndani hapa nchini.
Baadhi ya Wahariri pamoja na Wanahabari waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mada mbalimbali zilnazojadilia kwenye mkutano huo wa mwaka wa hifadhi za Taifa Tanzania,unaoendelea  hivi sasa katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Morogoro leo.Picha na Avila Kakingo-Globu ya Jamii
Unknown at 1:37 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.