Pages

Wednesday, June 8, 2016

MSASA WA SDGS WAENDELEA UDOM, VITIVO VYAKAMILIKA












“Mna wajibu mkubwa kwa vijana wenzenu” alisema Bw. Rodriguez na kueleza kwamba amefurahishwa kuona kwamba vijana na wanazuoni 1,200 wameahidi kuwa walimu na mabalozi wa malengo ya maendeleo endelevu majumbani kwao, katika taasisi zao na katika jamii inayowazunguka.

No comments:

Post a Comment