Pages

Wednesday, June 8, 2016

NEWZ ALERT: TAARIFA YA KIFO CHA PROF.ESTOMITH NKYA

Chumba cha Globu ya jamii hivi punde kimepokea taarifa ya kifo cha Mume wa aliyekuwa Waziri wa Serikali ya awamu ya Nne na Mweka Hazina wa CCM Mkoa wa Morogoro Mhe.Dr.Lucy Nkya amefariki dunia,taarifa zinaeleza kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.

Rest in Peace 
Prof.Estomih Nkya

TAARIFA YA MAZISHI ; Msiba wa mzee wetu Prof E J Nkya Baba Mzazi Wa Mnec Wakili Jonas Nkya na Mume Wa aliyekuwa waziri wa Jinsia,Watoto na Afya Dr Lucy Nkya Kwa sasa Upo Nyumbani kwake Morogoro Kilakala, Mazishi yatafanyika Mkoa Wa Kilimanjaro Machame Siku Ya Jumamosi, Kwa Mtakao pata nafasi Karibuni Tukamhifadhi Mzee wetu. Mungu Ailaze Roho Ya Marehemu Mahala Pema, RIP Prof Nkya.

No comments:

Post a Comment