Pages
(Move to ...)
Home
▼
Saturday, June 11, 2016
Rais Magufuli afanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri
Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mbunge wa Buchosha Dkt. Charles John Tizeba ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment