Pages

Thursday, June 2, 2016

Wadau wa watakiwa kutoa mchango wa kuboresha kanuni za upatikanaji wa mbolea nchini.










Dkt. Msolla amesema kuwa Shirika hilo lenye makao yake makuu Afrika Kusini linatoa huduma kwa sekta ya mbolea katika nchi mbalimbali Barani Afrika ikiwemo nchi tatu za kipaumbele ambazo ni Tanzania, Msumbiji na Ghana, nchi nyingine ambazo shirika hilo linafanya kazi ni Ethiopia, Senegal, Ivory Coast na Nigeria

No comments:

Post a Comment