Pages
(Move to ...)
Home
▼
Wednesday, June 8, 2016
ZITTO KABWE AHOJIWA MASAA MATATU KUTOKANA NA HOTUBA YAKE OPERATION KOMBOA DEMOKRASIA
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, akihojiwa na waandishi wa habari leo nje ya Kituo kikuu cha Polisi jijini Dar es salaam baada ya kuhojiwa kwa takribani masaa matatu kutokana na hotuba yake aliyoitoa kwenye mkutano wake wa "Operesheni Komboa Demokrasia" uliofanyika Viwanja vya Zakhem Mbagala, Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment