Pages

Thursday, December 29, 2011

Gari likiwa limeacha njia na kutumbukia mtaroni kutokana na Mvua zilizonyesha Mwishoni wa juma

Gari aina ya Scania lenye namba za Usajili T 143 ADJ , ambalo lilikuwa likitoka Morogoro kuelekea Dar es Salaam, baada ya kutumbukia katika Mtalo Eneo la Mbezi Magari Saba(Picha na Shaaban Mpalule)

No comments:

Post a Comment