Pages

Thursday, December 29, 2011

SAFARI YA ERASMUS LUNAGA-WAKATI WA MAZIKO YAKE NA JINSI ALIVYOWAACHA WATU KATIKA MAJONZI

 Hii ni Familia yake,
 Getruda Mongela akiweka udongo wakati wa salamu za mwisho
 Kaka wa Marehemu Erasmus Lunaga akiweka Udongo
 Mke wa Marehemu, Mama Lunaga akiweka Udongo wakati wa maziko
Mke wa Marehemu, Mama Lunaga akiweka Udongo wakati wa maziko
 Mtoto wa Marehemu, Richard Lunaga(kati) na ndugu yake Rede Mkama  wakati wakiwa kanisani
 Baadhi ya watu waliofika kuaga Mwili wa Mpendwa wetu, Baba yetu Erasmus Lunaga
Mke na Watoto wa Marehemu Erasmus Lunaga wakati wa maombezi katika kanisa la Roman Mbezi

No comments:

Post a Comment