Pages

Saturday, June 15, 2013

Siku ya Kuzaliwa Mtoto Erasmus Richard Lunaga- Tegeta jijini Dar es Salaam.

 Hapa ikionekana keki aliyoandaliwa na wazazi wake
 Shangazi yake Erasmus, Bi. Rosemary Lunaga, akiwapongeza kwa mtindo wa kuwapa Chakula watoto
 Mtoto Erasmus akiwa nyuma ya Keki
 Mtoto Erasmus Lunaga, akiwa na watoto wenzake
 



Shangazi yake Erasmus Rose Lunaga, akipozi baada ya kuwapa Chakula Wageni katika Hafla hiyo.
(Picha Zote na Redmptus Mkama)

No comments:

Post a Comment