Pages

Sunday, September 21, 2014

TANZIA

Familia ya aliekua mwanamuziki wa bendi za super matimila na tanzania one theatre TOT Fredy Mwalasha inasikitika kutangaza cha baba yaompendwa Fredy Mwalasha kilichotokea saa 5 asubuhi ya leo tarehe 19/9/2014,mazishi yanatarajia kufanyika mkoani morogoro mara baada ya mwili kuwasili...

No comments:

Post a Comment